image description
# 765539
USD 16.00 (Book Not in Ready Stock, will take 45-60 days to source and dispatch)
- +

Mwanangu Rudi Nyumbani

Author :  Dotto Rangimoto

Product Details

Country
Tanzania
Publisher
Mkuki na Nyota Publishers Ltd, Dar es Salaam, Tanzania
ISBN 9789987083749
Format PaperBack
Language Swahili
Year of Publication 2018
Bib. Info 94p. ; 198x129mm.
Shipping Charges(USD)

Product Description

Wakizingatia historia ndefu ya uandishi katika lugha ya Kiswahili, majaji wa Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika wameeleza: Mashairi yaliyomo katika diwani hii yametumiliwa lugha iliyojaa taswira na majazanda yanayowakilisha vyema hisia zinazoelezwa katika dhamira mbalimbali. Mshairi amefaulu sana kuzitumia mbinu na miundo kadha wa kadha ili kuyajadili maswala yanayohusu hali na mazingira tafauti tafauti katika maisha ya binadamu. Anayazungumza maswala mazito mazito, lakini kwa namna ambayo hayamuelemei msomaji wake. Bali, badala yake, huwa yanamhimiza aendelee kuyasoma. Hata yale maswala makongwe, kwa mfano uhusiano baina ya wazazi na wana wao, yanajadiliwa kwa namna ya kuvutia na kuyafanya kama kwamba ndiyo mwanzo yanaanza kujadiliwa sasa. Dotto Rangimoto ni mtunzi stadi. Na diwani hii ni mchango mkubwa katika ushairi wa Kiswahili wa zama zetu hizi.

Product added to Cart
Copied